Shirika la habari la AFP linaripoti kuwa mamia ya wafungwa wametoroka katika jela moja iliyoko kwenye mji wa Goma, saa chache baada ya kuripotiwa kuwa waasi wa M23 na wanajeshi wa Rwanda ...
Moto wa nyika ambao umekuwa vigumu kudhibitiwa unateketeza sehemu za Los Angeles, na kusababisha vifo vya takriban watu watano, kuharibu mamia ya majumba, na kulazimisha zaidi ya watu 130,000 ...