Ugonjwa wa kifafa husababishwa na mambo mbalimbali yakiwamo ulaji nyama ya nguruwe isiyoiva ipasavyo, ajali, uzazi pingamizi na mbung’o katika baadhi ya maeneo hasa ya kitropiki ambayo huchangia ...
ULAJI wa nyama ya nguruwe isiyoiva ipasavyo, ajali, uzazi pingamizi na mbung’o vimetajwa kuwa vyanzo vya kuenea kwa ugonjwa wa kifafa. Pia imebainika kuwa wagonjwa wengi wanaosumbuliwa na ugonjwa huo ...