Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), lililokutana leo baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu wa chama hicho, limemthibitisha John Mnyika kuwa Katibu Mkuu wa chama. Jana, CHADEMA ...
Viongozi na wakuu wa nchi zaidi ya 50 za Afrika wanakutana katika mkutano wa bara hilo kuhusu nishati utakaoanza rasmi hivi leo jijini Dar-Es-Salaam huko Tanzania. Ajenda kuu ya mkutano huo ...
(Barua) Jaribio la Barcelona kumsajili fowadi wa Manchester United na Muingereza Marcus Rashford, 27, huenda likapingwa kwa kuwa hawajauza wachezaji wa kutosha ili kupata pesa. (ESPN,) Manchester ...
Haikuwa rahisi kuthibitisha kwa haraka nani anayehusika na ufyatuaji risasi, lakini mkaazi mmoja aliliambia shirika la habari la Reuters kwamba huenda hizo zilikuwa risasi za onyo na sio mapigano.
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) aliyemaliza muda wake, Freeman Mbowe ametoa maagizo mawili kwa uongozi mpya wa chama hicho chini ya mwenyekiti mpya Tundu Lissu ...
Wamekuwa wakijiuliza ni vipi wanaweza kutokelezea na mitindo yao ya nywele. Japo wanaweza kuonekana changamoto kwa watu wenye nywele fupi kupata mitindo ya kuvutia ya kusuka, kuna mbinu nyingi za ...
Mshtakiwa Andrea George akiwa mahakamani muda mfupi kabla ya kukiri kosa na kusomewa hukumu ya kwenda jela miaka 15 kwa kumuua mkewe bila kukusudia. Geita. Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Geita ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果